LOVE STORY

MAMA MKUBWA
Anajina zuri sana ambalo linaweza kumvutia mwanaume yeyote yule. Sio jina tu, hata yeye ni mzuri pia! Tizama mcho yake yalivyo makubwa, rangi ya ugoro, yenye mboni ya rangi nyeusi ya kuiva. Ona midomo yake minene, tizama na nyusi zake nyeusi zilzochongwa vizuri na kumfanya zida kunivutia.
Yes! Huyu ni mwanamke kamili, hata kiuno chake kinathibitisha hilo, kimegawanyika vizuri sana, na kuacha tumbo liwe mbali na kiuno. Hipsi zake laini ndizo zinazonifanya kila nikija Msamala mkoani Songea, nikae muda mrefu kabla ya kurejea Morogoro. Sauti yake ya kimahaba tunapokuwa katika sayari ya huba nayo ni kivutio kikubwa kwangu.
Huyu ni Magrethy!
Sijui niseme nini ili mjue kwamba huyu msichana ni mzuri, lakini fahamu tu, kuwa Magrethy alifanana na jina lake. Macho yangu yapo kwenye kioo cha simu yangu ambacho kinamwonyesha Magrethy au Rethy akiwa amelala kitandani, ni pacha niliyompiga mwezi jana nilipokuja hapa Msamala kwa shughuli zangu za kibiashara.
Mzuka kwa mapenzi unanipanda ghafla, namhitaji Rethy wangu haraka sana siwezi kuteseka wakati nina mpenzi bwana...mambo gani haya? Nanyanyua simu yangu , nabonyeza namba za Rethy, baada ya muda simu inapokelewa na sauti nyororo ambayo inapunguza uhovu wangu.
''Yes Jay my love...'' Ni Rethy huyo anaongea simuni.
''Sema mrembo wangu uko wapi?'' Nilikamuuliza haraka haraka huku nikijiandaa kwa kumuambia aje kwenye Hoteli ninanofikiaga siku zote.
''Kwani wewe uko wapi jamani Jay wangu?'' 
''Waridi Hotel, pangu pa siku zote...njoo basi mpenzi wangu unipe raha....'' sauiti yangu ilidhihirisha kiu yangu ya mapenzi niliyokuwa nayo. 
''Pole sana sweetie wangu, mie nipo hospitalini, nimekuja kumtizama bibi ni mgonjwa, hata hivyo kwakuwa umekuja basi lizima kesho asubuhi na mapema nije!'' Akasema kwa sauti laini ambayo ilinizidishia maumivu.
'' Pole sana mpenzi wangu, uguza pole, lakini iyo kesho basi iwe kesho kweli!''
''Najua unanifahamu vizuri katika suala zima la kusimamia ukweli dear...lazima nitakuja!''
''Sawa!'' Tukakata simu.
********

Kama kawaida siku iyo kulikua na baridi kali kuliko siku zote. Nilivaa koti langu jeusi zuri, chini nilivaa viatu vya kisasa na suruali ya jeans ya kubana. Kimsingi nilikuwa nimependeza sana. Ni muda mfupi nilikuwa nimemaliza kula nyama ya mbuzi na ndizi choma na sasa nilikuwa nateremshia na chupa ya bia kwenye baa moja hapa Msamala mkoani Songea.

Ghafla akaja mwanamama mmoja na kuketi katika meza yangu.
Macho yake yalikuwa yanashawishi sana, ni mama wa makamo, naweza kusema kwamba alikuwa mtu mzima fulani hivi, lakini alikuwa mnene wa kiasi wenye mpangilio!
Hapo namaanisha kwamba, pamoja na unene wake, umbo lake lilikuwa namba nane.

''Samahani, kuna mtu au naweza kukaa.'' Akaniuliza lakini akiwa amekaa.
''Waweza kukaa.'' Nikamjibu.
Sitaki kumzungumzia sana huyu mama, lakini kifupi ni mama mtu mzima, lakini ni mama wa mjini, yani ni wa kisasa.
Tukaanza kunywa pamoja. Alipofika bia nne, akaniomba anisogelee zaidi kwakuwa alitaka aniulize kitu. Nikakubali.

''Naitwa Mama Kubwa, naishi hapa Msamala, sina mume, ni mfanya biashara, sijui mwenzangu naweza kukujua zaidi!?'' Akasema kwa sauti ambayo hata mtoto mdogo angejua kuwa alikuwa amelewa.
''Naitwa Jay, natokea Moro, huwa nakuja hapa kununua mahindi na kusafirisha hadi Dar ambapo nayauza kisha nikija tena naleta mabumba na kuyauza moro, mimi pia sijaoa ila nina mchumba!''
''Good! Napenda vijana wachakarikaji kama wewe. Nataka kukusaidia zaidi katika biashara zako, hasa hii ya mahindi, lakini ni vizuri kama tukizungumza sehemu tulivu zaidi. Kwani umefikia wapi?''
''Waridi Hoteli.''
''Tunaweza kwenda kuzungumzia huko.''
''Hakuna tabu.'' Tukaongozana na mama kubwa kuelekea Walidi.

Tulipofika pale Hotelini tukiwa tumeongozana na Mama kubwa, wote tulikuwa bwaksi! Tulipoingia ndani, nikashangaa Mama Kubwa akisaula nguo zake zote kisha akajibwaga kitandani. Majaribu mengine bwana...nami nikavua, nikapanda kitandani kisha tuka-duh! Usiku mzima nilikuwa naelea kwenye sayari nzuri ya mapenzi. Mh! Mama Kubwa alinitoa jasho jamani nyie acheni tu.
Asubuhi niliamka nikiwa mwepesiiii! Mara simu yangu ikaingia ujumbe mfupi wa maneno, nikaufungua haraka.
Nimeshaanza kuja sweetie sasa nakaribia kufika.''
Ilikuwa sms kutoka kwa Rethy.
Hofu ikanipanda!
Woga ukanivaa.
Itaendelea....... mda si mrefu.

8 comments:

  1. 0657132484 PIGA TUMA SMS MWANAMKE YOYOTE MWENYE NYEGE ANAYE TAKA KUTOMBWA VIZURI KUNYONYWA KUMA KUCHEZEWA KISIMI MPAKA AKOJOE MIMI MBOO YANGU NENE NDEFU NNCHI 7 TAM IKIINGIA HUTAMANI NI ICHOMOE NAPENDA KUNYONYA KUMA NA KUICHEZEA KUNYONYA MAZIWA MPAKA MWANAMKE ALIZIKE NIPO DAR NATOMBA LIKA LOLOTE MPAKA ULIZIKE NA UFURAHI

    ReplyDelete
  2. kaka cjui dada hii blog yako bomba nifate vata mm yangu angalia ikoje mkuu wangu kaijage12.blogspot.com

    ReplyDelete
  3. Mwanamke yyt anayehitaj sugarboy anitafute 0712392858

    ReplyDelete
  4. Mkuuu hujamalizia sehemu ya pilii aisee kulikoniii kimya king xn bn tupe uhondooo

    ReplyDelete
  5. Mkuuu hujamalizia sehemu ya pilii aisee kulikoniii kimya king xn bn tupe uhondooo

    ReplyDelete
  6. kaka mbona hauja endelea sehem ifatayo???

    ReplyDelete
  7. Daah malizia sehemu ya pil story mzur sn

    ReplyDelete